Kutoka
Dodoma Mei 05 majira ya saa saba mchana kulitokea vurugu zilizoanzishwa
na wabeba mizigo wa Mji mdogo wa Kibaigwa ambapo taarifa inasema
zilikua ni vurugu zilizosababisha magari kadhaa kuvunjwa vioo.
Miongoni
mwa magari yaliovunjwa vioo ni pamoja na la Mbunge wa Tanga Omary
Nundu,gari la Polisi na basi linalofanya safari zake kati ya Dar na
Mwanza la Shabaha mbali na kuvunjwa kwa magari hayo pia maduka yaliporwa
na hata barabara kuu ya Dodoma-Morogoro ilifungwa.
0 comments:
Post a Comment